ISura ya kwanza .Daniel Na mwenzake kukikataa chakula cha mfalme ili wasijitie unajisi nacho.maana kilikuwa kinatolewa sadaka kwa miungu mingine.ivyo wlimuheshimu Mungu na Mungu akawathibitisha na kuwafanikisha.Sura ya pili ndoto ya sanamu ya mfalme nebkandreza .yaani karenda ya Mungu kwa mataifa mpaka wakati wa kurudi yesu Mara ya piliSura ya tatu sanamu alioifanya mfalme nebkandreza .Na shadraki meshaki Na aberinego kukataa kusujudia ilikumuheshimu Mungu alie haiSura ya NNE ndoto ya pili ya nebukandreza Na kufukuzwa kwake mbali Na wanadamu sababu ya kiburi chakeSura ya tano kifo cha belshaza .Sura ya sita .danieli kutupwa ndani ya tundu la simba Na utukufu was Mungu kumuokoaSura ya saba .wanyama wanne aliowaona Daniel katika ndoto wanao wakilisha karenda ya Mungu kwa mataifaSura ya nane kondoo mwenye pembe mbili beberu mwenye pembe moja na kuvunjika kwa pembe ya beberu alafu kuzuka kwa pembe nyingine NNESura ya tisa karenda ya Mungu juu ya taifa LA islaelTunapo sema mataifa ni kutoa taiga LA Israel. Ivyo Israel pia ina karenda yake binafsia adi kurudi kwa yesu kristoSura ya kumi na kumi na moja maelezo juu ya falme zitakazo kuja.kuanzia kipindi cha DanielSura kumi na mbili. Taabu ya yakobo yaani dhiki kuuuHapo utasoma kitabu cha Daniel kwa rahaa na kupata ufahamu
No comments:
Post a Comment