Karenda ya mataifaDuniani kuna falme nane ambazo Mungu ameziweka katika karenda mpaka kurudi kwa Yesu kristo. Ajuaye na afahamuFalme izo ni (enzi kuuu)1_ misri _hii ndio dola ya zamani sana2_ ashuru _hii Mungu alihiinua kwaajiri ya kuliadhibu taifa lake Israel Lilipo acha kumtegemea yeye3_ babeli _hii dola iliinuka baada ya ashuru .ndiko waliko chukuliwa mateka Israel kwaajili ya matengenezo baada ya israeli kuziacha sheria za mungu4_umedi na uajemi_hii iliinuka baada ya babeli kuanguka belshaza alivyo vichukua vyombo vya hekaru la Mungu ambayo babaake nebkandreza alivichukua yerusalem katika hekaru la Mungu nae akavitumia kwa anasa ndipo yakatokea Yale maneno ya mungu kwaabari ya kugawanyika kwa ufalme wake na kupewa wamedi na waajemi5_uyunani ambao uliinuka baada umedi na uajemi kuanguka6_rumi._hii dola hata yesu kristo aliikuta in dola iliokuwa inatawaliwa na makaisari ata wakati wa ufunuo wa yohana dola hii ndio ilio kuwa inatawala ilitumika sana. Kulinyanyasa kanisa LA kristo7.revived roman empire ambayo ipo sasa ambayo ndani yake ina ngu za chuma lakini aijashikamana kama ule udongo kwenye sanamu ya ile katika ndoto ya nebkandreza iliyo tolewa tafsili na daniel kitabu cha danieli 2Inangu ya chuma kwasababu uchumi wao ni mmoja na wananguvu kiuchumi na pesa yao inanguvu yaani yuroLakini aijashikamana kama ule udongo katika nyayo yaani kila nchi ina bendera yake ivyo wananguvu kiuchumi lakini awjashikamanaDora za zamaini ilikuwa kama dola moja inatawa bendera za nchi zingine zilikuwa zina shushwa.8_mpinga kristo_ambaye ajaja bado mpaka kanisa litakapo nyakuliwa ndipo atajiinua kwa kusaidiwa na hii revived roman empire Ambayo IPO sasaNaa atakapo jiinua lazima falme tatu zianguke kati ya zile kumi zinazo unda revived roman empire zile ambazo zilikuwa sehemu ya dola ya Roma zamaniIvyo Yesu anarudi tubu ukatakaswe kwa damu ya yesu ucje ukaingia kwenye kipindi cha ziki kuuMaadam neema IPO tubuRoho mtakatifu ata ondoka na watakatifu ivyo unatakiwa kuokokaAlafu ujazwe Roho mtakatifu yeyeNdiye Alie arabuni ya urithi wetuYaani muuhuri kwa watakatifu nae ndiye Alie mbeba Yesu kwenda mbinguniAtatubeba na sisi piaPauro anasema katika warumi 8 wario na Roho wa mungu ao ndio wana wa mungu Raki pia anasema ikiwa Roho yule Alie mfufua Yesu katika wafu anaishi ndani yenu ataiusha na miili yenu ilio katika hali ya kufa ili tuwe na uzima hapa pauro kwa Roho mtakatifu ana tukumbusha kuwa uzima wetu uko ndani ya Yesu kwa Roho mtakatifu.Pia tafuta kubatizwa ubatizo wa maji mengi mathayo 3 matendo ya mitume 2 hadi 3 yohana 1 26 27
No comments:
Post a Comment